Wednesday, January 31, 2018

Arsenal yakamilisha uhamisho wa Aubameyang



Pierre-Emerick Aubameyang sasa ni mchezaji wa Arsenal, klabu hiyo ya London  imetangaza hili.
Aubameyang ametia saini mkataba wa "muda mrefu kwa uhamisho ambao umevunja rekodi ya klabu" kutoka Borrussia Dortmund.
"Mchezaji wetu wa pili wetu kumnunua wakati wa kipindi cha kuhama wachezaji Januari. Auba ni miongoni mwa washambuliaji stadi zaidi duniani. Amefunga mabao 98 katika mechi 144 akichezea klabu ya Dortmund ligi ya Bundesliga na amesaidia ufungaji wa mabao 172 katika mechi 213 ambazo ameshiriki akichezea klabu hiyo yake ya zamani michuano yote," Arsena wameandika kwenye mtandao wao.
Dortmund ilikuwa imesema kuwa itamuuza mcheza huyo baada ya kupata mbadala wake huku mshambuliaji wa Chelsea Michy Batshuayi akitarajiwa kujiunga na klabu hiyo kwa mkopo.
Aubameyang alifunga mabao 141 katika mechi 213 akiichezea Dortmund tangu 2013, ikiwemo mechi 21 kati ya 24 msimu huu.
Lakini alipigwa marufuku na klabu hiyo ya Ujerumani katika mechi yao dhidi ya Wolfsburg tarehe 14 Januari kwa kukosa mkutano wa timu.
Mshambuliaji huyo pia aliwachwa nje kwa mechi yao dhidi ya Hertha Berlin kwa sababu maafisa wa klabu hiyo walihisi hakuwa na malengo lakini alicheza dakika 90 katika mechi ya Jumapili dhidi ya Freiburg.
Ameichezea Gabon mara 56 akifunga magoli 23.

Tuesday, January 30, 2018

MECHI ZA LEO TAREHE 31/01/2018 EPL

Chelsea 19:45 AFC Bournemouth

 Everton 19:45 Leicester City

Newcastle United 19:45 Burnley

Southampton 19:45 Brighton & Hove Albion

Manchester City 20:00 West Bromwich Albion

Stoke City 20:00 Watford

Tottenham Hotspur 20:00 Manchester United

Arsenal walazwa na Swansea City EPL



Swansea City waliondoka kwenye eneo la hatari ya kushushwa daraja Ligi ya Premia kwa mara ya kwanza tangu Novemba baada ya kuwalaza Arsenal.
Kosa la ajabu kutoka kwa Petr Cech lilimpa nafasi Jordan Ayew kufunga bao na kuwaweka wenyeji kifua mbele kipindi cha pili kabla ya Sam Clucas kufunga bao lake la pili usiku wa Jumanne na kukamilisha ushindi wao wa 3-1.
Mesut Ozil alikuwa ametoa pasi safi na kumuwezesha Nacho Monreal kufunga bao la kwanza mechi hiyo dakika ya 33 kabla ya Clucas kuwasawazishia Swansea uwanjani Liberty Stadium dakika moja baadaye.
Swansea wameandikisha ushindi mtawalia mara ya kwanza msimu huu.
Vijana wa Arsene Wenger nao wameshinda mechi moja pekee kati ya 13 walizocheza ugenini msimu huu Ligi Kuu ya England.
"Najihisi kwamba kwa kujilinda leo tulikuwa dhaifu sana na tulifanya makosa makubwa. Vyema zaidi ni kutozungumzia bao la pili na la tatu," alisema Wenger baada ya mechi.
"Swansea walikuwa makini sana, wenye nidhamu na hamu ya kutaka kushinda. Nasikitika, na naamini kwamba hatukucheza kwa kiwango cha kutosha, naamini hatukuwa na nidhamu ya kutosha.
Swansea wameonekana kuimarika sana chini ya meneja mpya Carlos Carvalhal ambapo wameshindwa mechi moja pekee kati ya nane walizocheza.
Ushindi wao dhidi ya Arsenal ndio wao wa pili mtawalia dhidi ya klabu iliyo nafasi sita za juu kwenye jedwali.
Liverpool ambao wamekuwa wakifunga mabao sana msimu huu walizimwa Liberty Stadium pia..
Huku Gunners wakitatizika Liberty Stadium, kulikuwa na wasiwasi na utata zaidi kuhusu shughuli za Wenger soko la kuhama wachezaji mwezi huu.
Arsenal wanatumai watafanikiwa kumnunua Pierre-Emerick Aubameyang kabla ya soko kufungwa leo jioni, lakini hiyo itategemea Mfaransa Olivier Giroud kuhama kutoka Emirates kwenda Stamford Bridge.
Giroud alijumuishwa kikosi cha Arsenal, lakini alikaa benchi pamoja na Henrikh Mkhitaryan.
Mashabiki waliimba jina lake kipindi chote cha mechi na bila shaka atakoswa sana na baadhi ya mashabiki wa Gunner iwapo ataondoka.

Manchester City sign French defender for club record £57m


Manchester City have signed French defender Aymeric Laporte from Athletic Bilbao for a club record fee of £57m.
The fee for Laporte, yet to win a cap for France, takes spending by Premier League clubs to £252m this month - a record for a January transfer window.
And the 23-year-old's arrival takes City's spending on defenders since the end of last season to £190m.
The club's previous record fee was the £55m paid to Wolfsburg for Belgium midfielder Kevin de Bruyne in 2015.
The centre-back has played 19 times for France at Under-21 level.
"I am looking forward to working under manager Pep Guardiola and trying to help the club to achieve success," he told the City website.
"It means a lot that the club have shown faith in me and I am excited to get started."
Injury concern over skipper Vincent Kompany and uncertainty over the reliability of Eliaquim Mangala led Guardiola to believe he required another central defender in addition to current first choices John Stones and Nicolas Otamendi.
bbc.

Raila 'aapishwa' kuwa 'rais wa wananchi' Kenya




Kiongozi mkuu wa upinzani nchini kenya bwana Raila Odinga amejiapisha kuwa raisi wa wananchi kenya, huku serikali ikifungia baadhi ya vituo vya habari vilivyokuwa vinapeperusha matangazo ya moja kwa moja.
bbc.



DANIEL STURRIDGE AJIUNGA KWA MKOPO WBA

Mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge amejiunga kunako timu ya  West Bromwich Albion kwa mkopo.

Football transfer news and rumours live: Will the Pierre-Emerick Aubameyang saga reach a conclusion?





It seems the world and his dog are chasing a new striker this January, and we start with the extraordinary transfer merry-go-round that threatens to define the whole window.
As revealed in a Telegraph Sport exclusive on Monday morning, Arsenal have agreed a club record £55.4 million deal with Borussia Dortmund for their top goalscorer Pierre-Emerick Aubameyang.
Arsenal fans reaching for the champagne might want to think twice however, as the German club need to acquire a replacement before signing off on the transfer.

Polisi 6 wakamatwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwiline Tanzania

Maafisa sita wa polisi wamekamatwa kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa chuo cha kitaifa cha usafirishaji Akwilina Akweline. Hayo ni k...