Tuesday, January 30, 2018

Raila 'aapishwa' kuwa 'rais wa wananchi' Kenya




Kiongozi mkuu wa upinzani nchini kenya bwana Raila Odinga amejiapisha kuwa raisi wa wananchi kenya, huku serikali ikifungia baadhi ya vituo vya habari vilivyokuwa vinapeperusha matangazo ya moja kwa moja.
bbc.



No comments:

Post a Comment

Polisi 6 wakamatwa kufuatia kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwiline Tanzania

Maafisa sita wa polisi wamekamatwa kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa chuo cha kitaifa cha usafirishaji Akwilina Akweline. Hayo ni k...